Sean “Diddy” Combs rose to mainstream fame in the late
1990s rapping about his desire for Benjamins, otherwise
known as $100 bills.
He rose to mainstream fame in the late 1990′s rapping about his desire for Benjamins, otherwise known as $100 bills. A decade and a half later, he might need to consider some larger denominations—McKinleys, Clevelands and Madisons, perhaps—to express his wealth. Diddy ranks No. 1 on this year’s Forbes Five list of hip-hop’s wealthiest artists, with an estimated net worth of $580 million. The bulk of the Bad Boy Records founder’s wealth comes from non-musical ventures, namely his deal with Diageo’s Ciroc. The agreement entitles him to eight-figure annual payouts and a nine-figure windfall if the brand is ever sold—and Ciroc’s value has never been higher. “It is one of the fastest-growing brands within vodka,” says Jack Russo, an equity analyst at Edward Jones & Co. “Consumers are feeling a little bit better about their situation, and with that, they’re willing to spend more on premium products.”
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiendesha Kikao cha Muungano, kilichofanyika katika Ukumbi wa Hoteli ya Zanzibar Beach Resort, mjini Zanzibar leo, Januari 14, 2013. Wa pili (kushoto) ni Waziri Mkuu, Mizengo Pinda (wa pili (kulia) Ni Makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Idd (kushoto) ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano), Samiah Suluhu na (kulia) ni Waziri wa nchi Ofsi ya Makamu wa pili wa Rais zanzibar, Mohamed Aboud. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiteta jambo na Makamu wa pili wa Rais, Zanzibar, Balozi Seif Ali Idd, wakati Makamu alipokuwa akiendesha Kikao cha Muungano kilichofanyika katika Ukumbi wa Hoteli ya Zanzibar Beach Resort, mjini Zanzibar leo, Januari 14, 2013. Katibu Mkuu wa Ofisi ya Makamu wa Rais, Sazi Salula (kulia) Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, Eng. Ngosi Mwihava (k...
Alexander Gauland na Alice Weidel ndio watakaoongoza juhudi za chama cha AfD kuingia katika bunge la Ujerumani katika uchaguzi mkuu wa Septemba 24. Alexander Gauland na Alice Weidel Hii ni baada ya wanachama wa chama hicho kuwachagua Jumapili, katika mkutano mkuu uliofanyika mjini Cologne. Gauland alikuwa mwanachama wa kitambo wa chama cha kihafidhina cha Kansela Angela Merkel na anajulikana kwa matamshi yake makali. Idadi kubwa ya wanachama wa AfD waliwaunga mkono Gauland mwenye umri wa miaka 76 na Weidel aliye na miaka 38 ambaye ni mchumi aliyewahi kufanya kazi benki. Kuchaguliwa kwao kulifuatia tangazo lililowashangaza wengi la kiongozi mwenza wa chama hicho Frauke Petry, ambaye ni sura ya chama hicho, kwamba, hataongoza kampeni za chama hicho jambo ambalo huenda likawapa fursa ya ushindi vyama vyengine kama kile cha kihafidhina cha Kansela Angela Merkel. Gauland ni mmoja wa wanachama walio na ushawishi mkubwa katika chama hicho na ni mmoja wa wapinzani wakuu wa Petry...
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akizindua mpango wa huduma ya Benki ya Posta Tanzania(Tanzania Postal Bank),TPB Popote katika hafla iliyofanyika katika hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam leo asubuhi.Kushoto ni Mwenyekiti wa Bodi ya Benki hiyo Profesa Leticia Rutashobya, Waziri wa Fedha Dr.william Mgimwa, Naibu Waziri wa Fedha Bi.Saada Mkuya(wanne kushoto) na kulia ni mkurugenzi Mkuu wa Benki hiyo bwana Moshingi Sabasaba. Huduma hiyo ina lengo la kusambaza huduma za kibenki kwa wananchi waishio mbali hususan vitongojini na sehemu za vijijini (picha na Freddy Maro). Rais Kikwete akipewa maelezo mafupi namna ya kuitumia huduma hiyo ya TPB POPOTE kutoka kwa mmoja wa wafanyakazi wa Benki ya Posta. Mgeni rasmi,Rais Kikwete akikabidhiwa zawadi kut0ka kwa Mwenyekiti wa Bodi ya Benki ya Posta,Profesa Lettice Rutashobya ...