LADY JAYDEE AZINDUA VIDEO YA “JOTO HASIRA” NYUMBANI LOUNGE
Get link
Facebook
X
Pinterest
Email
Other Apps
-
Lady JayDee akiimba kwa kushirikiana na waimbaji wa bendi ya Machozi bendi anayoimiliki mwenyewe wakati wa onesho hilo.
Jaydee akiwa kando ya gari lake mara baada ya kuwasili Nyumbani Lounge tayari kwaajili ya uzinduzi wa Video yake mpya ya Joto Hasira.
Mashabiki wa mwanamuziki huyo wakicheza stejini huku wakiwa wamepanga mstari Dida Wa Mchops akiongoza mashabiki wa mwanamuziki Lady JayDee wakati wakicheza stejiniMbunifu wa Mavazi Asia Idarous akipozi kwa picha na Mdau Bhoke wakati wa onesho hilo.Mboni Masimba katikati akiwa katika picha ya pamoja na Juma Pinto na Mdau Fred MaedaMamaa Shamimu wa 8020fashionblog akiwajibika kwa kupata taswira za onesho hilo.Mdau Bhoke akipozi kwa pichaMdau Jane na mdogo wake nao walijitokeza katika uzinduzi huo wa video ya Joto Hasira.kutoka kulia ni Monica na kutoka kushoto ni Mboni Masimba na Shamimu MwashaJuma Pinto kulia na wadau mbalimbali wakishoo Love kwa picha
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Marais wastaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi na Mzee Benjmin William Mkapa baada ya kuwasili katika hafla ya harambee ya kuchangia ujenzi wa wodi ya dharura kwa watoto pamoja na vifaa vyake katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili. Kati ya kiasi cha shilingi 1bn/ zilizohitajika, jumla ya shilingi 602,080,000/- zilipatikana katika harambee hiyo iliyofanyika usiku wa Jumamosi Fabruari 22, 2014 katika hoteli ya Golden Tulip jijini Dar es salaam. Rais Jakaya Mrisho Kikwete akibadilishana mawazo na Marais wastaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi na Mzee Benjmin William Mkapa katika hafla ya harambee ya kuchangia ujenzi wa wodi ya dharura kwa watoto pamoja na vifaa vyake katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili. Kati ya kiasi cha shilingi 1bn/ zilizohitajika, jumla ya shilingi 602,080,000/- zilipatikana katika harambee hiyo iliyofanyika usiku wa Jumamosi Fabruari 22, 2014 katika hoteli ya Golden Tulip jijini Dar es salaam. Mkurugenzi w...
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiendesha Kikao cha Muungano, kilichofanyika katika Ukumbi wa Hoteli ya Zanzibar Beach Resort, mjini Zanzibar leo, Januari 14, 2013. Wa pili (kushoto) ni Waziri Mkuu, Mizengo Pinda (wa pili (kulia) Ni Makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Idd (kushoto) ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano), Samiah Suluhu na (kulia) ni Waziri wa nchi Ofsi ya Makamu wa pili wa Rais zanzibar, Mohamed Aboud. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiteta jambo na Makamu wa pili wa Rais, Zanzibar, Balozi Seif Ali Idd, wakati Makamu alipokuwa akiendesha Kikao cha Muungano kilichofanyika katika Ukumbi wa Hoteli ya Zanzibar Beach Resort, mjini Zanzibar leo, Januari 14, 2013. Katibu Mkuu wa Ofisi ya Makamu wa Rais, Sazi Salula (kulia) Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, Eng. Ngosi Mwihava (k...
Zimbabwe President Robert Mugabe in his official car. A police outrider in Mr Mugabe’s motorcade was burnt beyond recognition on Wednesday in the fourth fatal road accident involving the veteran ruler’s escort this year. BBC A police outrider in Zimbabwe President Robert Mugabe’s motorcade was burnt beyond recognition on Wednesday in the fourth fatal road accident involving the veteran ruler’s escort this year. Police said the biker who was clearing traffic for the motorcade collided with a truck in Harare’s leafy suburb of Borrowdale where President Mugabe has his private residence in the morning. “It was a fatal accident and next of kin are yet to be informed, so we can’t give the name of the deceased,” assistant police spokesperson Charity Charamba said on Thursday. She said investigations were still underway to establish the cause of the accident. The driver of the truck Mr Cliff Moyo told local media that he was hit as he tried to negotiate a turn. “I...