TAMASHA LA USIKU WA MASTAA WA FILAMU DAR LIVE LAACHA HISTORIA
Get link
Facebook
X
Pinterest
Email
Other Apps
-
Kundi la Scorpion Girls likiongozwa na Isabela Mpanda (katikati) likiporomosha burudani wakati wa Tamasha la Usiku wa Mastaa wa Filamu lililofanyika Dar Live usiku wa kuamkia leo.
Mrembo Jacqueline Wolper akiwapa 'hi' mashabiki.
Jacob Steven 'JB' akionyesha umahiri wake wa kusakata rhumba wakati wa tamasha hilo.
Steve Nyerere naye akionyesha manjonjo yake stejini.
Mastaa wa filamu wakiwa jukwaani kuwasalimia mashabiki waliofurika ndani ya Dar Live.
Snura Mushi akiwapagawisha mashabiki.
Msanii Afande Sele akiwarusha mashabiki ndani ya Dar Live.
Tundaman akiwachizisha mashabiki.
...akizidi kuwapa raha mashabiki.
Kingwendu akifanya vitu vyake.
Richie naye akionyesha ufundi jukwaani.
Dk. Cheni na mwanadada wakienda sambamba.
Shamsa Ford akisema na mshabiki.
Bi. Mwenda akiwa kapagawa na shangwe za Dar Live.
Mrisho Mpoto akiwapa raha mashabiki.
Afande Sele akiwapa 'hi' mashabiki.
Mgeni rasmi katika tamasha hilo ambaye pia ni Meya wa Ilala, Mhe. Jerry Slaa akiwasabahi mashabiki.
Nyomi iliyohudhuria tamasha hilo.
Afande Sele akiwa amebebwa na mashabiki.
Bi. Mwenda akionyesha machejo yake stejini.
Ilikuwa ni full burudani ndani ya Dar Live.
Scorpion Girls wakizidi kupagawisha.
Snura na wanenguaji wake wakilishambulia jukwaa.
Bendi ya Twanga Pepeta ikitoa burudani katika Tamasha la Usiku wa Mastaa wa Filamu lililofanyika Dar Live usiku wa kuamkia leo.
Shilole akiwapa raha mashabiki.
Burudani zikiwa zimepamba moto mahali hapo.
Wanenguaji wa Shilole wakimpagawisha shabiki aliyepanda jukwaani.
Raha zikizidi kushamiri mahali hapo.
Baadhi ya mastaa wakiwa katika picha ya pamoja na mgeni rasmi, Mhe. Jerry Slaa (katikati).
Sabrina Rupia ‘Cathy’ katika pozi.
Baadhi ya mastaa wa filamu wakiwa katika picha ya pamoja na rais wao Mwakifwamba (wa pili kulia).
Mrisho Mpoto akiwa katika pozi.
Tundaman akipozi katika Red Carpet.
Rais wa Shirikisho la Filamu nchini (TAFF), Simon Mwakifwamba katika pozi.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Marais wastaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi na Mzee Benjmin William Mkapa baada ya kuwasili katika hafla ya harambee ya kuchangia ujenzi wa wodi ya dharura kwa watoto pamoja na vifaa vyake katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili. Kati ya kiasi cha shilingi 1bn/ zilizohitajika, jumla ya shilingi 602,080,000/- zilipatikana katika harambee hiyo iliyofanyika usiku wa Jumamosi Fabruari 22, 2014 katika hoteli ya Golden Tulip jijini Dar es salaam. Rais Jakaya Mrisho Kikwete akibadilishana mawazo na Marais wastaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi na Mzee Benjmin William Mkapa katika hafla ya harambee ya kuchangia ujenzi wa wodi ya dharura kwa watoto pamoja na vifaa vyake katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili. Kati ya kiasi cha shilingi 1bn/ zilizohitajika, jumla ya shilingi 602,080,000/- zilipatikana katika harambee hiyo iliyofanyika usiku wa Jumamosi Fabruari 22, 2014 katika hoteli ya Golden Tulip jijini Dar es salaam. Mkurugenzi w...
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiendesha Kikao cha Muungano, kilichofanyika katika Ukumbi wa Hoteli ya Zanzibar Beach Resort, mjini Zanzibar leo, Januari 14, 2013. Wa pili (kushoto) ni Waziri Mkuu, Mizengo Pinda (wa pili (kulia) Ni Makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Idd (kushoto) ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano), Samiah Suluhu na (kulia) ni Waziri wa nchi Ofsi ya Makamu wa pili wa Rais zanzibar, Mohamed Aboud. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiteta jambo na Makamu wa pili wa Rais, Zanzibar, Balozi Seif Ali Idd, wakati Makamu alipokuwa akiendesha Kikao cha Muungano kilichofanyika katika Ukumbi wa Hoteli ya Zanzibar Beach Resort, mjini Zanzibar leo, Januari 14, 2013. Katibu Mkuu wa Ofisi ya Makamu wa Rais, Sazi Salula (kulia) Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, Eng. Ngosi Mwihava (k...
Zimbabwe President Robert Mugabe in his official car. A police outrider in Mr Mugabe’s motorcade was burnt beyond recognition on Wednesday in the fourth fatal road accident involving the veteran ruler’s escort this year. BBC A police outrider in Zimbabwe President Robert Mugabe’s motorcade was burnt beyond recognition on Wednesday in the fourth fatal road accident involving the veteran ruler’s escort this year. Police said the biker who was clearing traffic for the motorcade collided with a truck in Harare’s leafy suburb of Borrowdale where President Mugabe has his private residence in the morning. “It was a fatal accident and next of kin are yet to be informed, so we can’t give the name of the deceased,” assistant police spokesperson Charity Charamba said on Thursday. She said investigations were still underway to establish the cause of the accident. The driver of the truck Mr Cliff Moyo told local media that he was hit as he tried to negotiate a turn. “I...