RAIS WA ZANZIBAR AHUDHURIA DHIFA YA PAMOJA NA VIJANA WA HALAIKI ZANZIBAR
Get link
Facebook
X
Pinterest
Email
Other Apps
-
Rais wa Zanzibar Dk Ali Mohd Shein akipata Chakula katika Dhifa maalum alioiandaa kwa ajili ya kuwapongeza na kula chakula pamoja nao Vijana wa Halaiki na walimu wao waliofanikisha katika Sherehe za kutimia miaka 49 ya Mapinduzi ya Zanzibar,hafla iliofanyika Bwawani Hotel Zanzibar.
Vijana wa Halaiki wakipata Dhifa Maalum ilioandaliwa kwa ajili ya Kuwapongeza kwa kufanikisha Sherehe za kutimia miaka 49 ya Mapinduzi ya Zanzibar,hafla iliofanyika Bwawani Hotel Zanzibar.
Vijana wa Halaiki wakipata Dhifa Maalum ilioandaliwa kwa ajili ya Kuwapongeza kwa kufanikisha Sherehe za kutimia miaka 49 ya Mapinduzi ya Zanzibar,hafla iliofanyika Bwawani Hotel Zanzibar.
Waziri wa Nchi Afisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Mwinyihaji Makame akitoa hotuba ya Shukurani kwa niaba ya Rais kwa Vijana wa Halaiki pamoja na Walimu wao kwa kufanikisha Sherehe za kutimia miaka 49 ya Mapinduzi ya Zanzibar,hafla iliofanyika Bwawani Hotel Zanzibar
Rais wa Zanzibar Dk Ali Mohd Shein katikati akiwa katika picha ya pamoja na Wakuu mbalimbali pamoja na Viongozi wa Vijana wa Halaiki waliohudhuria katika Dhifa ya Pamoja ilioandaliwa hapo Bwawani Hotel Zanzibar
Viongozi wa Halaiki waliohudhuria katika dhifa ya pamoja na Rais wa Zanzibar ilioandaliwa hapo Bwawani Hotel Zanzibar.
‘Chopa’ iliyotumiwa na Lema ikitua viwanja vya Shule ya Msingi Ngarenaro muda mfupi kabla ya kuanza mkutano. Chopa hiyo ilizunguka anga la Jiji la Arusha kwa madoido ya aina yake, hususani katika Kata nne za Themi, Kimandolu, Elerai na Kaloleni, halikadhalika eneo la mkutano, huku ikimwaga vipeperushi vya kunadi kampeni za Chadema na wagombea wake. Blog hii ilishuhudia wananchi wakigombea vipeperushi hivyo vikitua chini. Sehemu ya umati wa wananchi wa Jijini Arusha waliojitokeza jana katika viwanja vya Shule ya Msingi Ngarenaro kuhudhuria Mkutano Mkubwa wa Chadema wa Uzinduzi wa Kampeni za kuwania Udiwani kwa Kata nne zilizoachwa wazi na madiwani waliovuliwa uanchama na Chadema zaidi ya miaka miwili iliyopita. Mbunge wa Arusha Mjini na Mjumbe wa kamati Kuu Chadema, Mh Godbless Lema akihutubia umati wa wananchi waliojitokeza katika uzinduzi huo. Mwenyekiti wa Chadema Wilaya, ambae pia ni Mwenyekiti wa BAVICHA Mkoa wa Arusha na Diwani wa Kata ya Levolosi, Mh Ephata Nanyaro...
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Marais wastaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi na Mzee Benjmin William Mkapa baada ya kuwasili katika hafla ya harambee ya kuchangia ujenzi wa wodi ya dharura kwa watoto pamoja na vifaa vyake katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili. Kati ya kiasi cha shilingi 1bn/ zilizohitajika, jumla ya shilingi 602,080,000/- zilipatikana katika harambee hiyo iliyofanyika usiku wa Jumamosi Fabruari 22, 2014 katika hoteli ya Golden Tulip jijini Dar es salaam. Rais Jakaya Mrisho Kikwete akibadilishana mawazo na Marais wastaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi na Mzee Benjmin William Mkapa katika hafla ya harambee ya kuchangia ujenzi wa wodi ya dharura kwa watoto pamoja na vifaa vyake katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili. Kati ya kiasi cha shilingi 1bn/ zilizohitajika, jumla ya shilingi 602,080,000/- zilipatikana katika harambee hiyo iliyofanyika usiku wa Jumamosi Fabruari 22, 2014 katika hoteli ya Golden Tulip jijini Dar es salaam. Mkurugenzi w...