MSAFARA WA CCM KUELEKEA KIGOMA WAFIKA MOROGORO KWA TRENI


 Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinbduzi CCM, Abdulrahamn Kinana akizungumza na wana CCM wa Mkoa w Morogoro waliofika katika stesheni ya Tazara Mjini Morogoro kuwalaki wakati wa safari yao ya kuelekea mjini Kigoma katika madhimisho ya miaka 36 ya CCM ambayo kitaifa yanafanyika mjini Kigoma Februari 3, 2013

Popular posts from this blog

TASWIRA: UZINDUZI RASMI WA KAMPENI ZA CHADEMA KWA UDIWANI WA KATA NNE ZA ARUSHA

WAZIRI MKUU AWEKA JIWE LA MSINGI MRADI WA MAJI KATIKA KIJIJI CHA GYKRUM,ARUSHA