PINDA AZINDUA TAASISI YA WAARABU TANZANIA


Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akikata utepe wakati alipozindua  Taasisi ya Waarabu Tanzania kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam Novemba 18,2012. Kushoto Ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es salam Mecky Sadic.
Waziri Mkuu,Mizengo Pinda  akizungumza a Shekh  Noordin Kishk (katikati) na Mwenyekiti wa  Taasisi ya Waarabu tanzania , Said Said Mohamed  (kulia) baada ya kuzindua Taasisi hiyo kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam Novemba 18,2012.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu,Mizengo Pinda akisalimiana na Katibu Mkuu wa Taasisi ya Waarabu Tanzania, Mohamed Suqry baada ya kuzindua  Taasisi hiyo kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwa na Sheikh Noordin Kishk  baada ya kuzindua Taasisi ya Waarabu Tanzania kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es alaam Novemba 18,2012. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

Popular posts from this blog

TASWIRA: UZINDUZI RASMI WA KAMPENI ZA CHADEMA KWA UDIWANI WA KATA NNE ZA ARUSHA

RAIS KIKWETE ASAIDIA KUENDESHA HARAMBEE KUCHANGIA WODI YA DHARURA YA WATOTO NA VIFAA VYAKE HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI