RAIS KIKWETE ATEMBELEA MAKANISA YALIYOGEUZWA VITA NA WAISLAMU



Picture
Rais Jakaya Kikwete akioneshwa na Katibu wa Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Dar es Salaam M. Mkosimonga uharibifu uliofanywa kwenye Kanisa hilo wakati wa vurugu za Waislam jana huko Mbagala.
Picture
Rais Kikwete akioneshwa na Askofu Msaidizi wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri (KKKT) Dayosisi ya Dar es Salaam na Pwani, Mkosimonga uharibifu uliofanywa kwenye Kanisa hilo.
Picture
Rais Jakaya Kikwete akiangalia uharibifu mkubwa uliofanywa katika Kanisa la Pentekoste
Picture
Rais Kikwete akioneshwa na Mchungaji Alkwin Mbawi uharibifu uliofanywa kwenye magari yaliyokuwa yameegeshwa ndani ya Kanisa Pentekoste

Popular posts from this blog

TASWIRA: UZINDUZI RASMI WA KAMPENI ZA CHADEMA KWA UDIWANI WA KATA NNE ZA ARUSHA

RAIS KIKWETE ASAIDIA KUENDESHA HARAMBEE KUCHANGIA WODI YA DHARURA YA WATOTO NA VIFAA VYAKE HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI