Serengeti Fiesta 2012 Iringa funika mbaya!!!



Uzao wa THT, na huyu ni mwadada machachari anaekuja kwa kasi Rachel, akipagawisha juu ya jukwaa madhubuti la  SERENGETI FIESTA 2012 ndani ya uwanja wa Samora mjini Iringa hivi sasa. 
 Bongo movie wakiwa jukwaani
 Shilole akiserebuka
 Aunt Ezekiel we acha tu
 Ray huyoooo akikamua
 Wema nae aliimba za Diamond
 Diamond akikamua jukwaani
Sheta akimchezesha Diamond
 
Msanii funga kazi wa Hip Hop, Roma Mkatoliki akikamua jukwaani kwa staili yake ya kidole cha mwisho juu, Tamasha la Serengeti Fiesta 2012, ndani ya uwanja wa Samora mjini Iringa.
 Msanii wa Kizazi kipya Ben Paul akifanya makamuzi yake ndani ya Uwanja wa Samora mjini Iringa katika tamasha la Serengeti Fiesta 2012
 Linah akiimba mbele ya mashabiki wake ndani ya tamasha la Serengeti Fiesta 2012 mjini Iringa
 Nimakamuzi ya kiutu uzima kutoka kwa Linah ambaye pia ni zao la THT.
 Mkali Stamina nae akifanya makamuzi jukwaani katika show kali ya Serengeti Fiesta Iringa usiku  wa Septemba 23/24 uwanja wa Samora
 DJ PQ akifanya makamuzi yake stegini
 Mwanadada Linah akifanyiwa mahojiano na mtangazaji wa Clouds TV, Nickson ambaye anawika katika Kipindi chake cha Weekend Chart Show!
Hapa wakazi wa Iringa wakimwangalia Tausi, mwana dada ambaye naweza kusema ni mfupi kuliko wote ambao nimekwisha wahi kuwaona maishani mwangu.
Mkali Lenex akifanya vitu vyake jukwaani, hakika Serengeti Fiesta Iringa ni Bhaaaaass!!
Haya sasa MC wa Show Baba Johnniiiie!! akifanya kazi yake na kukubalika na mashabiki hapo chini.

Ni mkali mwingine kutoka jijini Mwanza kupitia shindano la Serengeti Supa Nyota 2012, Young  KIller akikamua vilivyo mbele ya wakazi wa mji wa Iringa ndani ya uwanja wa samora.
Ni mkali mwingine kutoka Morogoro kupitia shindano la Serengeti Supa Nyota 2012,Jo Maker akikamua vilivyo mbele ya wakazi wa mji wa Iringa ndani ya uwanja wa samora.

Mmoja wa wasanii chipukizi aliyeibukia kwenye shindano la Serengeti Supa Nyota 2012,kutoka Mkoani Mbeya aitwaye Ney Lee pichani akionesha kipaji chake cha kuimba jukwaani usiku wa Jumapili kwenye uwanja wa Samora,mkoani Iringa.

Popular posts from this blog

TASWIRA: UZINDUZI RASMI WA KAMPENI ZA CHADEMA KWA UDIWANI WA KATA NNE ZA ARUSHA

RAIS KIKWETE ASAIDIA KUENDESHA HARAMBEE KUCHANGIA WODI YA DHARURA YA WATOTO NA VIFAA VYAKE HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI