PINDA AFUNGUA MAABARA‏-GEITA


Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikata utepe kuashiria ufunguzi wa jengo la maabara la Shule ya Sekondari ya Nyang'hwale akiwa katika ziara ya mkoa wa Geita Septemba 9,2012. Kulia kwake ni Mkuu wa mkoa huo Magalula Magalula. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Popular posts from this blog

TASWIRA: UZINDUZI RASMI WA KAMPENI ZA CHADEMA KWA UDIWANI WA KATA NNE ZA ARUSHA

WAZIRI MKUU AWEKA JIWE LA MSINGI MRADI WA MAJI KATIKA KIJIJI CHA GYKRUM,ARUSHA