GWAJIMA AJIPANGA KUNUNUA TRENI



Mchungaji wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima amesema
amedhamiria kununu treni ya umeme  baada ya Rais John Magufuli kuonyesha dhamira
ya kujenga reli  ya kisasa(standard gauge).


Gwajima ameyasema hayo leo katika ibada ya Jumapili  huku akimsifu Rais Magufuli
kwa kuchukua hatua hiyo.

Popular posts from this blog

TASWIRA: UZINDUZI RASMI WA KAMPENI ZA CHADEMA KWA UDIWANI WA KATA NNE ZA ARUSHA

WAZIRI MKUU AWEKA JIWE LA MSINGI MRADI WA MAJI KATIKA KIJIJI CHA GYKRUM,ARUSHA