DARAJA LA KIKWETE KATIKA MTO MALAGARASI MKOANI KIGOMA LAKAMILIKA

Waziri wa Ujenzi Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli (Katikati) akiongozana na Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Kanali Msataafu Issa Machibya (wa pili kulia) na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi Eng. Joseph Nyamhanga (kulia) wakipita kwa pamoja na Watendaji mbali mbali katika Daraja la Kikwete.
Waziri wa Ujenzi Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli (Katikati) akiwa na Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Kanali Msataafu Issa Machibya (kulia) pamoja na Watendaji mbali mbali wakikagua maendeleo ya ujenzi wa Daraja la Kikwete katika Mto Malagarasi mkoani Kigoma.
Sehemu ya barabara pamoja na Daraja la Kikwete kama inavyoonekana hivi sasa baada ya kukamilika kwa ujenzi wake.

Popular posts from this blog

TASWIRA: UZINDUZI RASMI WA KAMPENI ZA CHADEMA KWA UDIWANI WA KATA NNE ZA ARUSHA

RAIS KIKWETE ASAIDIA KUENDESHA HARAMBEE KUCHANGIA WODI YA DHARURA YA WATOTO NA VIFAA VYAKE HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI