Viongozi wanapogongana Ziarani - Mbowe na Ole Medeye Uso kwa Uso Bomang’ombe
Ziara ya Mwenyekiti wa CHADEMA na Mbunge wa Hai katika picha, akikagua ujenzi na uhai wa chama (Chadema) ngazi ya misingi/vitongoji ambapo anakutana na kuzungumza na viongozi wa misingi hiyo.
Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe na Mbunge wa Hai, akijadiliana jambo na Mwenyekiti wa chama hicho Kijiji cha Mtakuja, Mzee Ally Mbatia. Mbowe yuko katika ziara ya kukagua uhai na kuimarisha ujenzi wa chama katika ngazi ya chini kabisa ya chama hicho, msingi, kwenye maeneo ya vitongoji mbalimbali katika vijiji vya Jimbo la Hai
Picha na Tumaini Makene