KATIBU MKUU KIONGOZI BALOZI OMBENI SEFUE ATEMBELEA MRADI WA JENGO JIPYA LA OFISI YA MKUU WA MKOA DODOMA



 Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue (wa tatu kushoto) akitoa maelekezo alipotembelea mradi wa ujenzi jengo la ofisi ya mkuu wa mkoa Dodoma. Kulia ni Katibu Tawala Mkoa Dodoma Ndg. Rehema Madenge.


Mafundi wa kampuni ya China Railway Jiachang Engeneering Ltd (CRJE Co. Ltd) inayojenga Jengo la ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma wakiendelea na kazi kama walivyokutwa na Katibu Mkuu Kiongozi (hayupo pichani) mwishoni mwa wiki alipotembelea mradi huo.

Popular posts from this blog

TASWIRA: UZINDUZI RASMI WA KAMPENI ZA CHADEMA KWA UDIWANI WA KATA NNE ZA ARUSHA

RAIS KIKWETE ASAIDIA KUENDESHA HARAMBEE KUCHANGIA WODI YA DHARURA YA WATOTO NA VIFAA VYAKE HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI