MWENDESHA MSHTAKA MKUU WA MAHAKAMA YA KIMATAIFA (ICC) BIBI FATOU BENSOUDA AKUTANA NA RAIS KIKWETE IKULU DAR ES SALAAM


8E9U3819Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha Mwendesha Mashtaka mkuu wa Mahakama ya Kimataifa(ICC) Bibi Fatou Bensouda ikulu jijini Dar es Salaam.Baadaye Rais kikwete alifanya mazungumzo na Bibi Bensouda.
8E9U3823
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na  Mwendesha Mashtaka mkuu wa Mahakama ya Kimataifa(ICC) Bibi Fatou Bensouda ikulu jijini Dar es Salaam.Baadaye Rais kikwete alifanya mazungumzo na Bibi Bensouda.
8E9U3836Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa  katika mazungumzo na Mwendesha Mashtaka mkuu wa Mahakama ya Kimataifa(ICC) Bibi Fatou Bensouda ikulu jijini Dar es Salaam.
8E9U3870Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Mahakama ya Kimataifa(ICC) Bibi Fatou Bensouda(Wapili kushoto) mara baada ya kufanya mazungumzo ikulu jijini Dar es Salaam leo.Wengine katika picha kushoto ni Mwanasheria Mkuu Jaji Frederick Werema,Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Bibi Angellah Kairuki(Wanne kushoto) na kulia Mwendesha Mashtaka mkuu wa Serikali Bwana Feleshi(picha na Freddy Maro)

Popular posts from this blog

TASWIRA: UZINDUZI RASMI WA KAMPENI ZA CHADEMA KWA UDIWANI WA KATA NNE ZA ARUSHA

RAIS KIKWETE ASAIDIA KUENDESHA HARAMBEE KUCHANGIA WODI YA DHARURA YA WATOTO NA VIFAA VYAKE HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI