Philip Mangula awasili Kigoma
Mangula akiteremka katika ndege.


Mangula akisalimiana na Katibu wa Siasa na Mahusiano ya Kimataifa, Dk. Asha-Rose Migiro.


Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara Komred Philip Mangula akisalimiana na viongozi mbalimbali wa CCM waliofika kumpokea Uwanja wa Ndege Mjini Kigoma hii leo.


Vijana wa CCM waliofika kumpokea Makamu Mwenyekiti CCM Bara.