KIKWETE AONGOZA MATEMBEZI YA MSHIKAMANO KUADHIMISHA MIAKA 36 YA CCM MJINI KIGOMA



 
Mwenyekiti wa  Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete akifurahia jambo na Bibi Koku ambaye aliwahi kuwa Katibu wa CCM katika Wilaya mbalimbali nchini ikiwapo Dodoma, Kongwa na Mwisho Wilaya ya Kasulu wakati wa Mfumo wa Chama Kimoja.
Mwenyekiti wa  Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete akianzisha rasmi matembezi hayo ya Mshikamano.
 Matembezi yakiendelea
 Brass Band ikiongoza matembezi hayo.
 Viongozi mbalimbali wakishiriki matembezi hayo.

 Mwenyekiti wa  Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete akisalimia wananchi marabaada ya kumaliza matembezi hayo.
 
 JK akiwapungua mkono wakazi wa Kigoma

Popular posts from this blog

TASWIRA: UZINDUZI RASMI WA KAMPENI ZA CHADEMA KWA UDIWANI WA KATA NNE ZA ARUSHA

RAIS KIKWETE ASAIDIA KUENDESHA HARAMBEE KUCHANGIA WODI YA DHARURA YA WATOTO NA VIFAA VYAKE HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI