WANANCHI WAIPOKEA SEKRETARIETI YA CCM MJINI KIGOMA
Lakini Pia Kinana amesema hii ni Kuunga mkono juhudi za Waziri wa Uchukuzi Dk. Harrison Mwakyembe na wafanyakazi wa Shirika la Reli (TRL), kwa kuwa na moyo wa kizalendo na kuamua kusimama kidete katika kuhakikisha huduma ya chombo hicho muhimu kwa mikoa ya Magharibi Kinarudi na kuanza kufanya kazi.