WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA AWASILI MKOANI KATAVI TAYARI KWA UZINDUZI RASMI WA MKOA HUO
Mkuu wa mkoa wa Katavi Dkt. Rajabu Rutengwe akimsiliza Kamanda wa polisi Mkoa wa Katavi kamanda Dhahiri Kidavashari wakati akimpa maelezo ya utaratibu wa mapokezi ya mgeni huyo, kulia anayesikiliza kwa makini ni Afisa Habari wa mkoa wa Rukwa Bw. Hamza Temba