Mkutano wa M4C Jijini Arusha jana



 Godbless Lema ambaye alikuwa Mbunge wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) jimbo la Arusha Mjini akihutubia umati wa wanachama wa chama hicho katika viwanja vya Kilombero-karibu na Hospitali ya Levolosi-Jijini Arusha.
Godbless Lema akiwa jukwaani na Mbunge wa Arumeru Joshua Nassari
 Joshua Nassari (Mb) akihutubia
Ally Bananga,kada aliyejitoa CCM Arusha

Wananchi wa jiji la Arusha wakiwasikiliza viongozi wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kwa umakini , katika viwanja vya Kilombero-karibu na hospitali ya Levolosi-Jijini Arusha.
 
Wananchi wa jiji la Arusha wakifuatilia sera za viongozi wao wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) katika viwanja vya Kilombero-karibu na hospitali ya Levolosi-Jijini Arusha.
Wananchi wa jiji la Arusha wakiwasikiliza viongozi wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA),akiwemo aliekuwa Mbunge wa Arusha Mjini Mhe.Godbless Lema, katika viwanja vya Kilombero-karibu na hospitali ya Levolosi-Jijini Arusha.
Wananchi wa jiji la Arusha wakimsikiliza Mbunge wa Arumeru Mashariki Mhe. Joshua Nassary katika viwanja vya Kilombero-karibu na hospitali ya Levolosi-Jijini Arusha,akisisitiza kuwa Mwenge wa Uhuru jimboni kwake ni MARUFUKU.
SOURCE: http://www.wazalendo25.blogspot.com/

Popular posts from this blog

TASWIRA: UZINDUZI RASMI WA KAMPENI ZA CHADEMA KWA UDIWANI WA KATA NNE ZA ARUSHA

RAIS KIKWETE ASAIDIA KUENDESHA HARAMBEE KUCHANGIA WODI YA DHARURA YA WATOTO NA VIFAA VYAKE HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI