Burundi yapata mwakilishi katika shindano la Miss East Africa 2012

Mrembo atakayeiwakilisha  Burundi katika mashindano ya Miss East Africa mwaka huu, Miss Mugisha Nadege (21). Mrembo huyo ana urefu wa futi 5.71 ni mwanafunzi wa mwaka wa kwanza katika chuo kikuu cha Burundi ambapo anasomea degree ya mawasiliano.




Popular posts from this blog

TASWIRA: UZINDUZI RASMI WA KAMPENI ZA CHADEMA KWA UDIWANI WA KATA NNE ZA ARUSHA

RAIS KIKWETE ASAIDIA KUENDESHA HARAMBEE KUCHANGIA WODI YA DHARURA YA WATOTO NA VIFAA VYAKE HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI